Wednesday 29 March 2017

INAUZUNISHA:WAGONGWA NA NDEGE WAKATI WAKIPIGA SELFIE UWANJA WA NDEGE


Wanawake wawili wamepoteza maisha yao baada ya kugongwa na ndege walipokuwa wakipiga picha za selfie kwenye barabara inayotumiwa na ndege kutua katika uwanja wa ndege mjini Chinipas, Mexico.
Nitzia Mendoza na Clarissa Morquecho wenye umri wa miaka 18 na 17 mtawalia walikuwa wakipiga picha juu ya lori iliyokuwa imeegeshwa pembeni mwa barabara ya ndege walipogongwa na bawa la ndege na kufa papo hapo
Share:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

MC ELLY NGWALA

FOR BOOKING PLEASE CALL Business No: +255 713 404 646 +255 784 297 582 +255 767 404 647 Email: mcellyngwala@yahoo.com

MC ELLY NGWALA KTK POZI

My Blog List

Powered by Blogger.

Blog Archive