Sunday 9 July 2017

TANZIA:MKE WANGU TAUSI AMEFARIKI DUNIA


Image may contain: 1 personShalom/Asalaam aleikhm

Tunategemea kuupumzisha mwili wa Mke wangu Tausi siku ya kesho Jumapili ktk Makaburi ya Ukonga Kinyerezi
Ratiba nzima ya Mazishi ni kuanzia saa 3;00 Asubuhi na tunategemea kufika Kanisani muda wa SAA 7:00 KANISA lipo Ukonga Majumbasita
Ukitokea Airport nenda mbele Kwa kuelekea Ukonga Banana,mbele kdg kwenye Mataa (Trafic Light)ni njia panda ya kuelekea SEGEREA.
Elekea kulia vuka reli elekea kushoto nenda na Lami kisha fuata njia ya vumbi pembeni ya reli utaliona Kanisa la Moravian.
Lakini ukitaka kufika Nyumbani kwenye Msiba Kabla hauja vuka reli,kata kulia fuata Barabarani ya vumbi pembeni ya reli utauona Msiba Nyumbani Kwa Wazazi wangu Kwa mzee Mwaifwani.
Barikiwa unapoianza Safari.
Elly Hezron Mwaifwani.
MC ELLY NGWALA.
0713404646/0767404647
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Amen.
Image may contain: 2 people, people smiling
Share:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

MC ELLY NGWALA

FOR BOOKING PLEASE CALL Business No: +255 713 404 646 +255 784 297 582 +255 767 404 647 Email: mcellyngwala@yahoo.com

MC ELLY NGWALA KTK POZI

My Blog List

Powered by Blogger.