Sunday 13 August 2017

PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA

TRENI YA ANGA: Wakati Tanzania ikitarajia kuanza ujenzi wa reli ya kisasa (standard gauge), nchi ya China inafanya majaribio ya treni ya anga ambayo inatajwa kuwa na kasi zaidi nchini humo.
Uzinduzi wa treni hiyo ya kipekee ambayo inaning’inia angani, unafanyika Mashariki mwa jimbo la Shandong na inakwenda kwa kasi ya kilometa 70 kwa saa.
Mandhari ya ndani ya treni hiyo inaelezwa kuwa ni ya kuvutia, na ina uwezo wa kubeba hadi watu 510 kwa wakatiu mmoja.
 Image may contain: sky and outdoor
Share:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

MC ELLY NGWALA

FOR BOOKING PLEASE CALL Business No: +255 713 404 646 +255 784 297 582 +255 767 404 647 Email: mcellyngwala@yahoo.com

MC ELLY NGWALA KTK POZI

My Blog List

Powered by Blogger.