Monday 14 August 2017

SIMBA YAIBANJUA MTIBWA BAO 1-0 TAIFA ,OKWI AIBUKA KINALA


Kikosi cha timu ya Simba kilichoanza dhidi ya Mtibwa Sugar leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar.
Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar kilichoanza dhidi ya Simba SC.
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi (kushoto) akimtoka beki wa Mtibwa, Hassan Isihaka.
Beki wa kulia wa Simba Ally Shomari akipambana na mchezaji wa Mtibwa.
KIKOSI cha Simba leo kimeendeleza ubabe kwa kuichapa Mtibwa Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki ulipopigwa Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Goli lilifungwa na winga wa Simba Emmanuel Okwi baada ya kupokea pasi ilinyooka kutoka kwa John Boko katika shambulizi lililotokea langoni mwa Mtibwa.
Hata hivyo timu hizo ziliendelea kushambuliana mpaka mwisho wa Mtibwa walikubali kulala kwa bao hilo.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

MC ELLY NGWALA

FOR BOOKING PLEASE CALL Business No: +255 713 404 646 +255 784 297 582 +255 767 404 647 Email: mcellyngwala@yahoo.com

MC ELLY NGWALA KTK POZI

My Blog List

Powered by Blogger.