
Shalom/Asalaam aleikhm
Tunategemea kuupumzisha mwili wa Mke wangu Tausi siku ya kesho Jumapili ktk Makaburi ya Ukonga Kinyerezi
Ratiba nzima ya Mazishi ni kuanzia saa 3;00 Asubuhi na tunategemea kufika Kanisani muda wa SAA 7:00 KANISA lipo Ukonga Majumbasita
Ukitokea Airport...