Saturday, 30 September 2017

Jeshi la Uganda latoa tamko kuhusu ‘mapigano’ bungeni

Jeshi la Uganda limezungumzia hatua iliyochukuliwa na vyombo vya usalama kuwaondoa kwa nguvu wabunge waliotimuliwa bungeni na Spika, Rebbeka Kagada, Jumatano wiki hii. Akizungumzia uamuzi huo, Jenerali Elly Tumwine alisema kuwa uamuzi huo ulikuwa sahihi kwani wabunge...
Share:

Friday, 29 September 2017

Serikali yalifungia gazeti la Raia Mwema

Serikali imesitisha uchapishaji na usambazaji wa gazeti la kila wiki la Raia Mwema kwa muda wa siku 90 kuanzia leo. Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbasi amesema leo Alhamisi kuwa agizo hilo pia linahusu toleo la mtandaoni. Dk...
Share:

Amuua mwenzake kisa mabishano kuhusu makalio ya mwanamke

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishna Msaizidizi Jonathan Shanna Warioba, ametoa onyo kali kwa wananchi wenye tabia za udhalilishaji kwa wanawake kuacha tabia hiyo mara moja huku akisema kwamba udhalilishaji umesababisha kifo. Kamanda Shanna amelazimika kusema hayo ...
Share:

Total Pageviews

41449

MC ELLY NGWALA

FOR BOOKING PLEASE CALL Business No: +255 713 404 646 +255 784 297 582 +255 767 404 647 Email: mcellyngwala@yahoo.com

MC ELLY NGWALA KTK POZI

My Blog List

Powered by Blogger.