
SERIKALI
imetangaza kuajiri walimu wa masomo ya sayansi na hisabati katika shule
za sekondari ambao wametakiwa kupeleka nakala za vyeti vyao vya elimu
ya sekondari, vya taaluma ya ualimu (stashahada na shahada) kwa ajili ya
uhakiki.
Tangazo
kwa Umma lililotolewa...