Serikali
kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imetangaza ajira mpya kwa Walimu wa
masomo ya Hisabati na Sayansi leo tarehe 12 Aprili, 2017.
BONYEZA HAPA KUYAO...
Rais Magufuli
amezindua Rasmi ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa ya Kimataifa ambayo
treni ya kisasa inayotumia umeme itaweza kusafiri kwa mwendokasi wa
kilomita 160 kwa saa.
==> Haya ni baadhi ya mambo aliyoyasema
21.Unapokuwa
dereva wa lori na unapopakia abiria...
Serikali
imesema jumla ya walimu 3,081 wakiwemo walimu 7 wa shule ya Sekondari
Omumwani Kagera, wameajiriwa, hivyo bado kuna nafasi ya walimu 1.048
kati ya nafasi 4,129 za walimu wa Sayansi na Hisabati zilizotolewa
kibali cha ajira.
Taarifa
hiyo imetolewa leo na Waziri...