
Wanawake
wawili wamepoteza maisha yao baada ya kugongwa na ndege walipokuwa
wakipiga picha za selfie kwenye barabara inayotumiwa na ndege kutua
katika uwanja wa ndege mjini Chinipas, Mexico.Nitzia Mendoza na
Clarissa Morquecho wenye umri wa miaka 18 na 17 mtawalia walikuwa...